TIMU ya Arsenal imefanikiwa kwenda Hatua ya 16 Bora UEFA Europa League baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Benfica jana Uwanja wa Georgios KaraiskákiJijini Piraeus.
Mabao ya Arsenal yalifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang mawili dakika ya 21 na 87 na Kieran Tierney dakika ya 67, wakati ya Benfica yamefungwa na Diogo Gonçalves dakika ya 43 na Rafa Silva dakika ya 61.
https://t0gkj99krb24.com/hibssfu8iy?key=1199603a84856e9c90eef355de1b36a5